Search This Blog

Thursday, November 1, 2012

LIVE MATCH CENTRE: AZAM FC 4 - 0 COASTAL UNION - FULL TIME



FULL TIME : AZAM FC 4 - 1 COASTAL UNION

Jerry Santo kaipatia Coastal Union bao la kufutia machozi Dakika ya 87.

Hapa uwanja wa Chamazi leo kuna ugeni wa benchi zima la timu ya Yanga - ambao wiki ijayo watacheza dhidi ya Azam FC.

 Gaudence Mwaikimba anatoka nafasi yake inachukuliwa na Abdi Kassim dk ya 80

DK 77: Himid Mao anaingia kuchukua nafasi ya Salum Abubakary

 DK 76: Azam wanfanya mabadiliko anatoka Kipre Barou anaingia Ibrahimu Mwaipopo

DK 75: Hamis Mcha Vialli anaipatia Azam bao la nne.

 DK 65: Azam 3 - Coastal Union

 DK 55: Mwaikimba napoteza nafasi nzuri ya kufunga bao la nne hapa.

Leo Azam wanacheza vizuri sana hasa kwenye kiungo ambapo Borou Kipre anaichezesha timu bila papara.

Azam wanakosa bao la wazi hapa, krosi nzuri ya Kipre inashindwa kuunganishwa na Mwaikimba dk 49
Kipindi cha pili kinaanza hapa Chamazi.

Mpira Mapumziko- Azam 3 - 0 Coastal

Mcha Vialli anaifungia Azam bao la 3

 DK 39 Jabir Aziz anapiga shuti kali linatoka sentimita chache.
Stewart Hall yupo kwenye bench la Azam.
DK 37 kipre tchetche anaipatia azam bao la pili.
Hili ni bao la kwanza la Mwaikimba msimu huu ktk kuanza kikosi cha kwanzA.

DK 25 Gaudence Mwaikimba anaipatia Azam bao la kuongoza.Amefunga kwa kichwa akiunganisha cross ya haji nuhu kutoka kushoto mwa kiwanja

DK 10: Azam FC vs Coastal Union
Mpira umeanza hapa Chamazi Complex

COASTAL UNION VS AZAM FC...... KIKOSI KINACHOANZA LEO

1. JACKSON CHOVE
2. SAID SUED (C)
3. JUMA JABU
4. MBWANA KIBACHA
5. JAMAL MACHELENGA
6. JERRY SANTO SALIM
7. SULEIMAN KASSIM SELEMBE
8. RAZAKH KHALFAN

9. DANNY LYANGA
10. ATUPELE GREEN
11. OTHMAN MANI

AKIBA;

1. JUMA MPONGO
2. LAMECK DAYTON
3. MOHAMED SOUD
4. AZIZ GILLA
5. HAMIS SHANGO
6. ISMAIL SUMA
7. ABDU BANDA

No comments:

Post a Comment