Search This Blog

Thursday, November 29, 2012

EXCLUSIVE: BAADA YA OPERESHENI YA MASAA 8 YENYE MAFANIKIO - NSA JOB KUREJEA BONGO KESHO

Mchezaji wa Coastal Union Nsa Job ambaye alipata majeraha ya goti na kwenda nchini India kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji anatarajia kurudi Tanzania kesho baada ya kupatiwa matibabu mazuri huko nchini India. Nsa anasema alifanyiwa upasuaji kwa muda wa masaa nane na baadae akatolewa na kuwekwa chumba maalum kisha baada ya muda akatolewa na kuruhusiwa. Anasema anaendelea vizuri na kesho mungu akimjaalia anarudi Bongo




1 comment: