Search This Blog

Wednesday, October 24, 2012

KAULI YA SIKU: MICHEAL LAUNDRUP MPYA "CHRISTIAN ERIKSEN" - KWANINI NILIKATAA KUJIUNGA NA MAN CITY

“Hana tamaa ya fedha. Alichagua kubaki hapa kwa maendeleo yake  na kwa sababu ya hilo bado yupo hapa Ajax. Ana mahusiano mazuri sana na kocha Frank De Boer na anafurahia maisha hapa Amsterdam. Christian hakuchukua hata sekunde 10 kuamua kwamba haitaki Manchester City walipomtaka."

Maneno ya wakala wa Christian Eriksen Martin Schoot akiliambia gazeti la De Telegraff na kuelezea kwanini mchezaji wake alikataa kujiunga na mabingwa wa Uingereza Manchester City.

No comments:

Post a Comment