Search This Blog

Friday, August 17, 2012

PICHA MUHIMU: TANGU SIKU YA KWANZA ALIPOSAJILIWA MPAKA ANAPOONDOKA ARSENAL - ROBIN VAN PERSIE


Siku akiwa anatambulishwa katika uwanja wa zamani wa Arsenal Highbury

Mazoezini siku ya kwanza

Akisherehekea moja ya makombe yake ya kwanza kabisa kushinda akiwa na Arsenal - kombe la FA Cup baada ya kuifunga Manchester United kwa penati 5-4



Majeruhi yalipoanza kumuandama

Moja ya magoli bora kabisa akiwa na Arsenal - hapa akiwatungua Charlton

Aliposhea uwanja na Thierry Henry katika awamu ya kwanza

Hapa ni baada ya kwenda kumsalimu golikipa wa Edwin Van Persie.

Hapa ni baada ya kuwafunga mabao mawili Chelsea kwenye uwanja Stamford Bridge.

Hapa ni baada ya kufungwa na Bolton kwenye mchezo wa fainali.

Kadi yake nyekundu aliyopewa kwa maamuzi ya utata dhidi ya Barcelona.

Akiombwa asiondoke

Akiwafunga mahasimu wao wakubwa Tottenham

Akishangilia magoli yake mawili aliyoyafunga dhidi ya Chelsea kwenye uwanja


Hapa ndipo Majeruhi yalipoanza kushikakasi

Siku ya mwisho aliyoyafanya mazoezi  na Arsenal huko Ujerumani.

No comments:

Post a Comment