Search This Blog

Friday, August 17, 2012

IKIWA UNAMTAKA CRISTIANO RONALDO ITAKUBIDI KULIPA €1 BILLION

Kila mchezaji anayo bei yake, ingawa vilabu vimekuwa vikijaribu kila njia kuweza kukaa na  wachezaji wao muhimu, lakini siku zote inakuwa ngumu jambo lililopelekea kuwa zinawawekea vipengele vya beighali ikiwa kuna klabu itakuja kuwataka kuwanunua wakiwa bado kwenye mkataba husika.  
 Kupitia utafiti mdogo uliofanyika tumeweza kugundua na kupata kujua ni wachezaji  gani wanaongoza kwa kuwekewa vipengele vya kuuzwa fedha nyingi kuliko wenigne.


Cristiano Ronaldo
€1bn
 

Lionel Messi
€250m
 

Fernando Torres
€127m
 

Hulk
€100m
 

Thiago Alcantara
€100m
 



No comments:

Post a Comment