Search This Blog

Friday, June 29, 2012

HII LISTI YA WACHEZAJI 13 WALIOACHWA NA YANGA: KADO, GODFREY BONNY, MBEGA, ASAMOAH, MWAPE NA MROPE NJE

Klabu ya Young Africans Sports Club imewasilisha jumla ya majina 13 ya wachezaji ambao imeachana nao mwishoni mwa msimu ulioisha kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF.
Wachezaji waliomaliza mikataba yao ni:
1.Godfrey Bonny
2.Kiggi Makasi
3.Abuu Ubwa
4.Bakari Mbega
5.Chacha Marwa
6.Atif Amour

Wachezaji ambao klabu imeamua kuvunja nao mikataba ni:
1.Davies Mwape
2.Kenneth Asamoah
3.Julius Mrope
4.Iddi Mbaga
5.Zuberi Ubwa
6.Pius Kisambale
NB: Shaban Hassan Kado ametolewa kwa mkopo kwenda timu ya Mtibwa Sugar

No comments:

Post a Comment