Search This Blog

Friday, June 29, 2012

COASTAL UNION YASAJILI JEMBE LINGINE KUTOKA JKT OLJORO

Klabu ya Coastal Union imeendeleza balaa kwenye usajili, baada ya juzi kumsainisha kiungo Pius Kisambale kutoka Yanga, leo hii hii klabu hiyo imemsainisha mchezaji Othman Omary kutoka timu ya Taifa ya Zanzibar aliyekuwa akiichezea klabu ya wanajeshi ya JKT Oljoro.

No comments:

Post a Comment