Search This Blog

Thursday, May 10, 2012

ON THIS DAY: NAPOLI WACHUKUA UBINGWA WAO KWANZA WA SERIE A WAKIWA NA JEMBE DIEGO ARMANDO MARADONA

Siku kama ya leo miaka 25 iliyopita, Napoli walisherehekea ubingwa wao wa kwanza kabisa nchini Italia. 
 Matokeo ya sare dhidi Fiorentina yaliwawezesha Napoli kuwa timu ya kwanza kutoka kusini mwa Italia kushinda kombe la Scudetto chini ya mwanaume Diego Maradona.

No comments:

Post a Comment