Search This Blog

Tuesday, May 22, 2012

MOURINHO ASAINI MKATABA MPYA MADRID - KUBAKI BERNABEU MPAKA 2016

Jose Mourinho amewakata maini Chelsea na Roman Abramovicha baada ya kusaini mkataba mpya  na Real Madrid utakaoenda mpaka 2016.


The Special One, ambaye kwa siku za hivi karibuni amekuwa akihusishwa na kurudi Chelsea  alisaini mkataba wa miaka minne in May 2010. Lakini kocha huyo raia wa Ureno amekubaliana vipengele vipya katika dili hii mpya ya miaka miwili.

Mourinho ameiongoza kushinda Copa del Rey katika msimu wake wa kwanza pale Bernebau na hivi karibuni ameleta kikombe cha ubingwa wa La liga ambacho kilikuwa kimepotea machoni mwa Madrid kwa muda mrefu kidogo.
 

No comments:

Post a Comment