Search This Blog

Saturday, May 19, 2012

BAADA YA TIKETI KUISHA - UWANJA WA ZAMANI WA BAYERN WAFUNGULIWA NA KWA AJILI YA KUONYESHA MPIRA KWENYE BIG SCREENS


Pamoja na tiketi za bei chini kabisa kuuzwa kwa EURO 2000 tena ukiwa unakaa kwenye siti za nyuma ya goli, leo hii mamlaka ya jiji la Munich wameufungua uwanja wa Olympia Stadium uliokuwa ukitumiwa na Bayern Munich kabla ya kuhamia Allianz Arena, kwa ajili ya matumizi ya kuonyeshea mpira wa leo katika uwanja huo.




Olympia leo pametengenezwa kwa kuwekwa TV screens kubwa ambazo mashabiki zaidi ya 60,000 watakaa na kuangalia mtanange kati ya Chelsea na Bayern Munich. Kwa taarifa nilizozipata ni kwamba kwenye uwanja huo pia napo pameshajaa na tiketi zote zimeshauzwa.

No comments:

Post a Comment