Search This Blog

Saturday, April 7, 2012

MATUKIO YALIYOTOKEA NA YANAYOENDELEA KUTOKEA KWENYE MSIBA WA STEVEN KANUMBA

Mwanadada Wema Sepetu ambaye alikuwa mpenzi wake Kanumba kabla hawajatengana akiwa na huzuni mkubwa juu ya kifo cha mpendwa wake huyo wa zamani.

Shabiki wa Kanumba akiwa amezimia baada ya kupata taarifa za msiba.

Muigizaji Tito akiwa analia kwa uchungu huku akibemebelezwa na Cloud

JB akiongea na Asha Baraka jana usiku katika hospitali ya muhimbili.

No comments:

Post a Comment