Search This Blog

Sunday, March 4, 2012

BREAKING NEWS: VILLAS-BOAS ATIMULIWA CHELSEA - DI MATTEO ARITHI NAFASI YAKE

Kwaheri AVB.
Hatimaye klabu ya Chelsea imemtimua kocha wake Andre Villas-Boas kufuatia mfululizo wa matokeo mabaya ambayo Chelsea imekua ikiyapata  msimu huu.

Kufuatia kuondoka kwa Andre Villas-Boas klabu hiyo imetangaza kupitia webiste yake, kocha msaidizi Roberto Di Matteo anachukua nafasi ya AVB mpaka mwishoni mwa msimu.
Karibu Di Matteo.


AVB alijiunga na Chelsea miezi nane iliyopita na akimgharimu Abramovich kiasi cha paundi millioni 13 kumnyakua kutoka Porto.

No comments:

Post a Comment