Search This Blog

Saturday, January 28, 2012

WILSHARE AUMIA TENA: SHAKANI KUUKOSA MSIMU WOTE


Arsenal wanahofu Jack Wilshare atakosa kipindi chote cha msimu kilichobaki baada ya kupata maumivu tena katika majeraha yake ya enka.

Habari hiisio nzuri kabisa kwa Manager wa England Fabio Capello ambaye Wilshare ni mmoja ya viungo wake anaowaamini na kuwategemea katika kikosi cha England ahead of EURO 2012.

Wilshare amekosa msimu mzima mpaka sasa kutokana na majeruhi aliyoyapata mwanzoni mwa msimu na alitegemewa kurudi uwanjani mapema mwezi ujao.

Lakini akiwa mazoezini Jumanne wiki hii aliumia tena.

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger alisema: “Nipo disappointed sasa na yanayomtokea Wilshare, kwa sababu anapenda sana kucheza soka. Nina huzuni sana kwa kijana umri kama wake kutumia muda mwingi kukaa nje ya uwanja.

No comments:

Post a Comment