Search This Blog

Saturday, December 3, 2011

FERDINAND AHAMA KWAKE BAADA YA KUTISHIWA MAISHA


Anton Ferdinand amelazimika kuhama nyumbani kwake kwa ajili ya usalama wake mwenyewe baada ya kupokea vitisho vya kuuliwa mwezi uliopita.

Polisi walikuwa concerned na message za vitisho zilizotumwa kwa mlinzi huyo wa QPR usiku wa kuamkia mechi dhidi ya Manchester City, hivyo wakamshauri yeye pamoja na familia yake kuchukua tahadhari mara moja.

Vitisho hivyo vimekuja huku kukiwa na sakata la nahodha wa Chelsea John Terry akituhumiwa kumtukana kibaguzi Ferdinand wakati wa mechi ya lgi kati ya QPR dhidi ya Chelsea at Loftus Road.

Kutokana na ushauri wa polisi, mchezaji huyo ambaye ni ndugu wa damu wa beki Manchester United Rio Ferdinand akaamua kuhama katika nyumba yake pamoja na familia yake kwa kuogopa kudhuriwa na watu waliomtumia msg za kutishia maisha yake

No comments:

Post a Comment