Search This Blog

Tuesday, November 22, 2011

PHIL JONES AANZA MATANUZI, ANUNUA GARI LA MIL.377


Beki wa Manchester United na England Phil Jones amesherekea mwanzo wake mzuri wa msimu kwa kuamua kutumia zaidi ya £130,000 ambayo ni sawa Mil.377 za kibongo kununua gari aina ya Aston Martin.

Mchezaji huyo wa zamani wa Blackburn, 19. Amejihakikishia namba katika kikosi cha kwanza cha United baada ya uhamisho wake wa £16.5million in the summer.

Na sasa ni wazi Jones ameanza kuzoea maisha ya hali juu, baada ya kuvuta mkoko wa bei mbaya.

No comments:

Post a Comment