Search This Blog

Wednesday, October 19, 2011

ROONEY AVUNJA REKODI YA MABAO KWENYE CHAMPIONS LEAGUE

Magoli mawili aliyoifungia klabu yake ya Manchester United dhidi ya klabu Otelul Galati ya Romania jana usiku, yamemfanya mshambuliaji Wayne Rooney kuwa ndio mchezaji wa kiingereza mwenye mabao mengi katika Champions League history.

Wayne Rooney ametupia jumla ya mabao 26 katika UEFA CL, akiwaacha nyuma Paul Scholes mwenye mabao 24, Frank Lampard mabao 20, na Steven Gerrard aliyetupia nyavuni mabao 19.

WAYNE ROONEY CL DEBUT AND EXCLUSIVE INTERVIEW

No comments:

Post a Comment