Search This Blog

Friday, August 19, 2011

MARIGA KUJIUNGA NA REAL SOCIEDAD


Mchezaji wa kimataifa wa Kenya na klabu ya Inter Milan McDonald Mariga amewasili nchini Hispania kwa ajili ya kufanyiwa vipimo na kujiunga Real Sociedad, na anategemewa kutambulishwa leo Ijumaa baada na atapewa jezi namba 18.

Mchezaji huyo wa zamani wa Parma ameuzwa kwa mkopo na Inter lakini anaweza akasajiliwa moja kwa moja baada ya kuisha kwa muda wa mkopo mnamo June 30 mwakani.

Mariga ambaye atavaa jezi namba 18, atatambulishwa leo Ijumaa mbele ya mashabiki wa wapenzi wa klabu hiyo ya Spain.

Siku inayofuata Mariga atakuwa jijini Nairobi kujiunga na timu ya taifa ambayo itawakaribisha Guinea Bissau katika yenye ulazima wa kushinda ya michuano ya kugombea nafasi ya kushiriki African Cup of Nations

No comments:

Post a Comment