Search This Blog

Thursday, August 11, 2011

ENRIQUE AFANYIWA VIPIMO LIVERPOOL



Jose Enrique yupo katika hatua za mwisho kukamilisha uhamisho wa kujiunga na Liverpool baada ya kufanyiwa vipimo.


Liverpool wamekubali kulipa ada ya £6m kwa Newcastle United kwa ajili mlinzi huyo mwenye miaka 25.




Taarifa ya Newcastle ilisema: “Newcastle United Football Club inathibitisha ada ya uhamisho wa Jose Enrique kwenda Liverpool imekubaliwa.Mchezaji ataenda Liverpool leo na kujadili maslahi yake binafsi pamoja na kufanyiwa vipimo vya afya.”


No comments:

Post a Comment