Search This Blog

Saturday, August 6, 2011

BUNDESLIGA 2011/12 YAANZA RASMI: Dortmund yaanza vyema kuutetea ubingwa wake













Mabingwa watetezi wa taji la BUNDESLIGA timu ya Borussia Dortmund imeanza vizuri kampeni yake ya kuutetea ubingwa wake baada ya kuifunga Hamburg mabao 3-1 hapo jana usiku.



Kevin Grosskreutz akifunga bao la kwanza la msimu wa 49 wa Bundesliga dakika ya 17 pia akaongeza la pili dakika ya 48 na Mario Goetze akifunga lingine dakika ya 28 na kukamilisha ushindi huo mnono.

No comments:

Post a Comment