Search This Blog

Saturday, August 6, 2011

OBERTAN KUJIUNGA NA NEWCASTLE JUMATATU


Winga wa kifaransa anaichezea Manchester United Gabriel Obertan amekubali dili la mkataba wa miaka 5 wa kujiunga na Newcastle United kwa ada ya uhamisho wa unaofikia £3million.

Obertan ambaye tangu January mwaka huu alikuwa yupo sokoni atajiunga na Newcastle United Jumatatu ijayo, baada ya kukamilika kwa mazungumzo binafsi kati yake na Newcastle.

No comments:

Post a Comment