Search This Blog

Saturday, August 6, 2011

Kikao cha vilabu na tff chashindwa kufanyika ...

Leo kulikuwa na kikao kati ya TFF na Vilabu 14 vitakavyoshiriki ligi kuu ya Vodacom Msimu ujao,
Cha kustaajabisha kikao hicho kimeshindwa kufanyika baada ya viongozi wa vilabu vinane kushindwa kuudhulia kikao hicho.
Viongozi waliohudhulia wametoka vilabu vifuatavyo:
African Lyon,Mtibwa Sugar,Kagera Sugar,Jkt Ruvu,Ruvu Shooting na Moro UTD.
Kikao hicho kilikuwa ni kwa ajili ya kuzungumzia namna ligi ya msimu ujao itakavyoendeshwa.

BORA TFF MUENDELEE NA LIGI YENU INAVYOONEKANA VILABU VYENYEWE HAVIJAWA TAYARI KUENDESHA LIGI YAO.

No comments:

Post a Comment