Search This Blog

Saturday, July 16, 2011

USAJILI WA TEGETE SIMBA WASHINDAKANA


Uhamisho wa mshambuliaji Jerryson Tegete kuelekea Simba kwa klabu hiyo ya msimbazi kumtoa beki Kelvin Yondan pamoja na kiasi cha pesa umeshindakana.

Chanzo cha habri kutoka ndani ya pande mbili za uongozi wa watani wa jadi kinasema kuwa kushindakana kwa dili hilo ni kutokana muda, "Ni kweli Simba walipeleka ofa ya kutaka kumsajili Tegete lakini Yanga wameshindwa kutoa maamuzi kutokana na kwamba suala la zima maamuzi ya usajili linapaswa kutolewa maamuzi na kamati ya utendaji ya klabu hiyo ambao imeshindwa kukutana kwa dharura mpaka dirisha la usajili lilipofungwa leo saa 6 usiku."

No comments:

Post a Comment