Search This Blog

Saturday, July 16, 2011

MATHARE UNITED WASAINI MKATABA NA PUMA


Klabu ya Mathare United inayoshiriki katika ligi kuu ya Kenya imefanikiwa kuingia mkataba wa udhamini wa mwaka mmoja na moja ya makampuni makubwa ya vifaa ya michezo PUMA.

Udhamini huo wa Mathare United kutoka kwa PUMA una thamani ya kshs 3million, huku klabu hiyo ikipata jezi rasmi na za mazoezi, na viatu.

No comments:

Post a Comment