Search This Blog

Friday, July 29, 2011

TFF YAPOKEA MAOMBI RASMI YA MGOSI KUSAJILIWA DC MOTEMA PEMBE

Shirikisho la soka la Tanzania TFF, limethibitisha kupokea maombi toka klabu ya Darlng club Motema Pembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, juu ya uhamisho wa mshambuliaji wa klabu ya Simba Mussa Hassan Mgosi.
Kwa mujibu wa katibu mkuu wa shirikisho la soka la Tanzania TFF, Angetile Osiah amesema kwamba, maridhiano kwa pande zote mbili yamefikiwa, ambapo sasa Mgosi ataruhusiwa kuichezea klabu hiyo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

No comments:

Post a Comment