Search This Blog

Friday, July 29, 2011

Arsenal yamnasa Juan Mata – Phil Jagielka is next

ARSENAL wanamatumaini makubwa ya kuwanasa kiungo Juan Mata na beki Phil Jagielka kwa kitita cha paundi milioni 34.
Winga wa Valencia Mata amewambia marafiki zake anajiunga na the Gunners kwa ada ya paundi milioni 19.
Wakati huo huo Arsene Wenger yupo mbioni kumnasa beki wa Everton Jagielka kwa ada ya paundi milioni 15.
Jagielka, mwenye umri wa miaka 28 anataraji kuhitaji mkataba wa miaka minne na mshahara wa paundi £100,000 kwa week.
Naye mshambuliaji Nicklas Bendtner yupo mbioni kujiunga na Sporting Lisbon kes sds ys psundi milioni 9.

No comments:

Post a Comment