Search This Blog

Friday, July 29, 2011

DIABY NJE WIKI 10


Kiungo wa Arsenal Abou Diaby amefanyiwa operation ya enka na atakaa nje ya uwanja kwa wiki 10, Kocha Arsene Wenger ametangaza leo.

Kiungo huyo mfaransa alikuwa akisumbuliwa na maumivu ya enka mwishoni mwa msimu uliopita, jambo ambalo limemkosesha kushiriki katika mechi za kujiandaa na msimu mpya.

Diaby anategemewa kuwa nje mpaka mwezi wa tisa, hivyo atakosa michezo ya premier league dhidi ya Newcastle, Liverpool na Manchester United kwa pamoja ya play off za champions league.

No comments:

Post a Comment