Search This Blog

Saturday, July 9, 2011

NGASSA SAFARINI U.S KWA MILLIONI 12


Mchezaji ghali zaidi katika historia ya soka nchini Tanzania Mrisho Khalfan Ngassa anayeitumikia klabu tajiri nchini Bongo Azam FC, anaondoka leo saa 3 usiku kuelekea Obamaland kwa ajili kufanya majaribio na klabu ya Seattle Sounders. Ngassa anatarajiwa kuondoka nchini na ndege ya shirika la Continental Airlines kwa tiketi ya Business class yenye thamani ya $7500. Ngassa akiwa U.S na Seattle katika majaribio atacheza katika mechi kati ya Seattle Sounders dhidi ya Manchester United itakayofanyika Julai 20 mwaka huu.
Now we can see that Ngassa is getting the treatments of a Football superstar.

No comments:

Post a Comment