Search This Blog

Thursday, July 7, 2011

JOSEPH OWINO MAISHA NJE YA SOKA


Beki wa kimataifa wa Uganda aliyekuwa anaichezea klabu ya Simba msimu uliopita Joseph Owino ameongea nab log hii kuelezea maisha yake nje ya soka.

Owino ambaye recently alifanyiwa operation ya goti nchini India kwa sasa yupo kwao nchini Uganda akijiendeleza na elimu huku akijishughulisha na biashara katika kuhakikisha hayumbi kimaisha.

“Nashukuru mungu naendelea vizuri na goti langu, na kwa sasa natumia muda wangu kuwa nje ya uwanja kujiendeleza kielimu, nachukua masters ya Business Administration @Makerere University, na vilevile najishughulisha uuzaji wa ujumla wa vifaa vya stationery.-Owino

No comments:

Post a Comment