Search This Blog

Thursday, July 7, 2011

JOHN O'SHEA ANAFANYIWA VIPIMO @ SUNDERLAND


Baada ya jana Wes Brown kwenda North East kufanyiwa vipimo na kukamilisha deal la kuhamia Sunderland. Leo mchezaji mwingine kutoka Man United, the versatile John O’shea ameelekea Stadium Of Light kufanyiwa vipimo.

Ikiwa O’shea na Brown watafanikiwa kufaulu vipimo na kujiunga na Sunderland, kocha Steve Bruce atakuwa ametimiza usajili wa wachezaji nane ndani ya kipindi hiki cha usajili , huku Darren Gibson nae akiwa njiani kujiunga na Black Cats.

No comments:

Post a Comment