Search This Blog

Thursday, July 7, 2011

EXCLUSIVE: JERRY TEGETE NJIANI KUELEKEA MSIMBAZI

"CHUKUA JEZI YA UKWELI HII" JERRY TEGETE AKIWA NA ULIMBOKA MWAKINGWE.

Kutothaminiwa na viongozi na kutopata nafasi ndani ya kikosi cha timu yake kumefungua milango ya klabu ya Yanga kwa mshambuliaji Jerryson Tegete.

Habari kutoka chanzo cha habari kilicho karibu na viongozi wa klabu ya Simba na Tegete zinasema kwa zaidi ya 60% mtoto wa meneja wa uwanja wa CCM Kirumba atakuwa mchezaji wa klabu ya Simba muda wowote kutoka sasa.

Tegete ambaye katika michuano inayoendelea ya CECAFA Kagame Cup anaonekana kuporwa na namba na washambuliaji Asamoah, Hamis Kiiza na Davis Mwape hali ambayo imemkosesha amani mshambuliaji huyo.

No comments:

Post a Comment