Search This Blog

Friday, July 8, 2011

HEARTS OF OAK NA ASANTE KOTOKO WAOTA MBAWA


Mashindano yaliyokuwa yawashirikishe timu kongwe za barani la Afrika kutoka nchini Ghana, Hearts of Oak na Asante Kotoko kwa pamoja na 2011 Kagame Castle Cup’s finalists Simba na Yanga hayatakuwepo tena.

Mashindano hayo ambayo yalipewa jina la “Tanzania International Cup” na yalipangwa kufanyika ndani ya siku mbili kupitia usimamizi wa kampuni mbili za Afrika Kusini Lumuli Marketing na Octagon.

Chanzo cha kutofanyika kwa michuano kunasemekana ni waandaji kushindwa kuhimili gharama kubwa za kutumia uwanja wa taifa walizotajiwa na wasimamizi wa uwanja huo.

No comments:

Post a Comment