Search This Blog

Friday, July 8, 2011

BREAKING NEWS: YANGA YAMSAJILI IDRISA RAJABU

Klabu Bingwa ya Tanzania Bara Dar Young African wamefanikiwa kumsajili mchezaji wa Sofapaka ya Kenya na timu ya taifa ya Tanzania Idrisa Rajabu.
Idrisa ambaye hucheza upande wa beki wa kushoto alisajiliwa Sofapaka akitokea Mtibwa Sugar ya Morogoro misimu miwili iliyopita, na sasa anarejea Tz kuja kuitumikia Yanga.

No comments:

Post a Comment