Search This Blog

Saturday, July 9, 2011

EXCLUSIVE: MR.LIVERPOOL ACHUKUA NAFASI YA NDIMBO SIMBA.


Miezi michache baada ya kujiuzulu kwa Cliford Mario Ndimbo kujiuzulu nafasi ya usemaji ndani ya klabu ya Simba, klabu hiyo leo imemteua Ezekiel Kamwaga a.k.a Mr.Liverpool kuwa msemaji rasmi wa timu hiyo.
Ezekiel ambaye ni moja kati wanahabari wakongwe nchini anakuwa ni msemaji wa pili wa klabu hiyo ndani ya uongozi wa Simba chini ya Aden Rage.

No comments:

Post a Comment