Search This Blog

Wednesday, July 27, 2011

ARGUERO KWENDA UK KUMALIZANA NA CITY

Sergio Aguero anakaribia kujiunga na Manchester City kwa dili la uhamisho wa £40million.

Argentina striker atawasili jijini London kesho Jumatano kukamilisha mazungumzo ya kuhamishia makali yake @ Etihad Stadium akitokea Atletico Madrid.

Aguero anatazamwa kama ndiye mrithi sahihi wa Carlos Tevez, ambaye kwa sasa yupo katika harakati za kuhakikisha anahama Man City baada ya uhamisho wake wa kuelekea Corinthians kufeli.

Kun Aguero anatarajiwa atasaini mkataba wa miaka 5 huku akipata mshahara wa £200,000 kwa wiki baada ya kulazimisha kuhama Atletico Madrid.

The 23-year old atakuwa akisindikizwa na wakala wake Hernan Reguera .

No comments:

Post a Comment