Search This Blog

Friday, June 17, 2011

OFFICIAL: CHELSEA KWENYE MAZUNGUMZO YA KUMSAINI LUKAKU



Anderlecht wamethibitisha kwa mara ya kwanza kwamba wapo kwenye mazungumzo na Chelsea ya kufanya uhamisho wa mshambuliaji Romelu Lukaku kuelekea Stamford Bridge.

Lukaku, 18, amekuwa akihusishwa kujiunga na Chelsea timu ambayo amewahi kukiri kuwa na mapenzi nayo.

Tetesi zilikuwa zinasema kuwa Anderlecht general manager Herman van Holsbeeck alienda London kukutana na kumalizana na Chelsea, na sasa tetesi hizo sasa zimekuwa kweli baada ya timu hiyo ya Ubelgiji kuthibitisha kufanya mazungumzo na Roman Abramovich's team.

Van Holsbeeck aliiambia Sky Sports: "Bado kuna muda kidogo katika kufanya majadiliano.Tupo kwenye mazungumzo na Chelsea lakini pia kuna timu nyingine tumeongea nazo.

No comments:

Post a Comment