Search This Blog

Wednesday, May 11, 2011

VIONGOZI WA BIRMINGHAM WARIDHISHWA NA UWANJA WA TAIFA.


kocha msaidizi wa BIRMINGHAM na mkuu wa idara ya afya wameridhishwa na na uwanja wa taifa pamoja na sehemu mbali mbali walizotembelea katika ziara yao nchini tanzania ambapo team hiyo itacheza mechi za kirafiki na vilabu vikubwa vya Tanzania ambavyo ni SIMBA na YANGA.


KOCHA MSAIDIZI WA BIGMINGHAM ANDY WATSON.



MKUU WA IDARA YA AFYA LAN MCGVINESS.

No comments:

Post a Comment