Search This Blog

Monday, May 30, 2011

SHIRIKISHO LA MPIRA ULIMWENGUNI FIFA LA SIMAMISHA VIONGOZI KWA MDA USIOJULIKANA KWA KESI YA RUSHWA


Kimataifa,Kamati ya maadili na nidhamu ya shirikisho la soka duniani FIFA limewasimamisha kwa muda usiojulikana Jack Warner rais Chama cha Soka bara la Ocean na Rais wa Shirikisho la Soka barani Asia Mohamed Bin Hammam kufuatia tuhuma za rushwa zinazowakabili.
Akitangaza uamuzi huo makamu mwenyekiti wa kamati hiyo Petrus Damaseb alisema uamuzi huo umefikiwa baada ya kuwaona Bin Hammam na Warner wanakesi ya Kujibu huku Rais wa sasa wa FIFA Sepp Blater akionekana hana hatia.

No comments:

Post a Comment