Search This Blog

Monday, May 30, 2011

INTER MILAN YANYAKUA UBINGWA WA COPA ITALY.


Na huko nchini Italia hapo jana usiku Inter Milan imemaliza msimu kwa kujipooza na kombe la Copa Italia baada ya kuifunga Palermo kwa mabao matatu kwa moja.
Samwel Etoo Fiis alikuwa nyota wa Mchezo huo baada ya kufunga mabao mawili huku Diego Milito akifunga bao la tatu na la mwisho kwa Inter ambao walishindwa kutetea ubingwa wao wa Seria A msimu huu...

No comments:

Post a Comment