Search This Blog

Monday, May 30, 2011

BONDIA FRANSIC CHEKA AKATAA KUPIGANA NA BONDIA MARCUS UPSHOW KUTOKA NCHIN MAREKANI.


Bondia Francis Cheka amesema hawezi kupigana tena na Bondia Marcus Upshow kutoka nchini Marekani kufuatia ubabaishaji unaofanywa na Promota wa pambano hilo Shomary Kimbau ambaye amekuwa sio mkweli juu ya pambano hilo.
Cheka akizungumza na Kipindi cha Michezo cha Clouds Fm hapo jana alisema Kimbau ni Promota ambaye kwa sasa hana jipya kwani amekuwa akiwadanganya watanzania kuhusiana na pambano hilo wakati uwezo wa kuandaa umeisha mshinda.

No comments:

Post a Comment