Search This Blog

Wednesday, May 11, 2011

REAL MARDID WAMEFANIKIWA KUMSAJILI NURI.


Real Madrid wamefanikiwa kumsajili Borussia Dortmund midfielder Nuri Sahin jana jumatatu mtandao wa klabu hiyo unaripoti.
The German-born Turkish player amesaini mkataba wa kuichezea Real Madrid kwa misimu sita for €10 millions.
Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari Real Madrid sports director Miguel Pardeza alisema "Sahin ni mchezaji mzuri na alikuwa moja ya viungo bora kwenye Bundesliga msimu huu, ni mdogo kiumri na ni mchezaji bora vitu vinavyomfanya kuwa a good signing".
Pia Nuri Sahin aliuzungumzia uhamisho wake kwenda Santiago Bernebeu, "Haukuwa uamuzi rahisi kuondoka Borussia, naipenda klabu na kocha na nilikuwa najisikia furaha sana nikiwa pale lakini Real Madrid ni moja ya timu bora duniani hivyo kujiunga nayo ni hatua kubwa katika maisha yangu."
"Sikuichagua Real kwasababu ya pesa.Nimechagua kwasababu hii ni timu kubwa ulimwenguni, ni vigumu kukataa kujiunga na timu hii.Jose Mourinho ni kocha bora duniani, nafuraha sana kufanya nae kazi".

No comments:

Post a Comment