Search This Blog

Wednesday, May 11, 2011

MESSI NA RONALDO-NA​NI KUCHUKUA PICHICHI?


Cristiano Ronaldo and Lionel Messi are no strangers katika kuvunja records.Tarehe 23 April, Messi alijiwekea rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya soka la Hispania kwa kutia kambani magoli 50 (31 goals in La Liga alone) ndani ya msimu mmoja, and last saturday night, Ronaldo aliivunja rekodi yake binafsi baada ya kufunga mabao manne dhidi ya Sevilla na kufikisha mabao 46 in this season, magoli 36 akiwa amefunga kwenye La liga pekee.


Zikiwa zimebakia mechi tatu msimu wa ligi kumalizika wadau wa soka duniani wanajiuliza nani between the two best players in the world ataibuka La liga top scorer na kuchukua tuzo ya mfungaji bora inayotolewa na gazeti la michezo la Marca maarufu kama "PACHICHI" pamoja na kuingia katika orodha ya La liga top scorer of all time.

No comments:

Post a Comment