Search This Blog

Wednesday, May 11, 2011

BADO NIPO UNITED-FER​GUSON.


Muda mrefu baada ya kuhusishwa na taarifa za kutaka kuondoka Old Trafford msimu ujao, Sir Alex Ferguson amezungumza na kuthibitisha kwamba ataendelea kuwa kocha wa Man United hata kama akifanikiwa kuwapita Liverpool na kuweka rekodi kwa kuchukua ubingwa wa Uingereza msimu huu.
The Scottish coach ambaye amekuwa in charge of the club tangu 1986, msimu huu ametimiza miaka 25 na kuweka rekodi ya kuwa the longest serving boss in United’s history and the longest serving currently working in EPL.
SAF ambaye wakati akiingia Old Trafford, alisema anataka kuangusha utawala wa Liverpool kwa kuchukua makombe mengi zaidi, now he has taken the club level on 18 top flight championships with their Merseyside rivals.
Na sasa akiwa katika nafasi nzuri kuchukua ubingwa wa 19 wa ligi kuu ya England, the news doing the rounds zinasema ikiwa United watachukua ubingwa msimu huu then Ferguson ataachia ngazi kwa kuwa malengo yake yatakuwa yametimia lakini 69-year old coach ameongea na gazeti la “The Mirror” and he said “I’ll be here next year”.

No comments:

Post a Comment