Search This Blog

Wednesday, May 18, 2011

NIPENI TIMU NIWARUDISHE LIGI KUU-DI CANIO

PAOLO DI CANIO


Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Italia "Azzuri" na klabu ya West Ham Paolo Di Canio amewaambia wamiliki The Hammers yeye ndio mtu sahihi wa kuirudisha West Ham katika Ligi kuu ya England.
"Nitajitolea kila kitu kwa West Ham iwapo mmiliki atanipa ajira kama kama Kocha.Nimesikitika sana timu hii kushuka daraja kwasababu nimekuwa na mapenzi ya dhati na West Ham, siku zote imekuwa ndani ya moyo wangu, Upton Park kuna mashabiki wa aina yake hivyo nitajitoa kwa uwezo wangu wote."
DI CANIO WAKATI ANACHEZEA WEST HAM

No comments:

Post a Comment