Search This Blog

Wednesday, May 18, 2011

NAONDOKA MILAN - PIRLO



Baada ya kuchezea AC Milan kwa kipindi cha miaka 10, kiungo wa kimataifa wa Italia leo ametangaza kuondoka ndani ya klabu yenye maskani yake jijini Milan lakini amekana kuzungumza na Jeventus.
"Naondoka baada ya miaka 10 isiyosahaulika,sijaongea na Juventus lakini nawahakikishia kwamba sitokuwepo Sun Sirro msimu ujao."

Wakati Pirlo akitangaza kuvunjika kwa ndoa yake na mabingwa wapya wa Serie A, mchezaji mwenzie Filipo Inzighi amesaini mkataba wa mwaka wa kuendelea kuichezea AC Milan.

No comments:

Post a Comment