Search This Blog

Wednesday, May 11, 2011

NIPENI LAMPARD MCHUKUENI KAKA.


Kocha wa Real Madrid Jose Mourinho anaripotiwa kuvutiwa na huduma za Chelsea and England international football player, Frank Lampard na anafikiria kumtumia Ricardo Kaka katika kufanikisha deal hilo.
Frank Lampard alihusishwa sana na kujiunga na Inter Milan kipindi Mourinho alipojiunga na klabu hiyo ya Italia, lakini uhamisho huo haukufanikiwa na Lampard akabaki darajani.
Now the news has that the Special One anafikiria kumtoa Kaka ambaye ameshindwa kung'ara ndani ya kikosi cha Madrid ili apate discount from the expected £ 40 million asking price ili aweze kumleta Frank Lampard Santiago Bernrbeu

No comments:

Post a Comment