Search This Blog

Saturday, May 21, 2011

LEO NI BIRTHDAY YA 107 YA FIFA



Leo tarehe 21, May 2011, shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA linatimiza maika 107 tangu kuanzishwa mwaka 1904.
FIFA ambayo ilianzishwa siku kama ya leo miaka 107 iliyopita kipindi ambapo wawakilishi kutoka Ufaransa, Ubelgiji, Denmark, Uholanzi, Spain, Sweden, and Switzerland walisaini sheria ya msingi katika makao makuu ya Union Francaise de Sports Athletiques jijini Paris.Siku mbili baadae mfaransa Robet Guerin alichaguliwa kuwa rahisi wa kwanza wa FIFA.
Mwaka 1932 makao makuu ya shirikisho hilo yaliyokuwa nchini Ufaransa yakahamishiwa jijini Zurich.

HAPPY ANNIVERSARY FIFA

No comments:

Post a Comment