Search This Blog

Saturday, March 1, 2014

LIVE MATCH CENTRE: YANGA SC 1 - 0 NACIONAL AL ALHLY FULL TIME


Mpira umekwisha Yanga wanaondoka na ushindi

90' Yanga wanaongoza bado

82' Canavaro anaipatia Yanga bao la kwanza - Yanga 1 - 0 Al Ahly

70' Zikiwa zimebaki dk 20 mchezo kumalizika milango bado migumu - Yanga 0 - 0 Al Ahly

60' Yanga 0 - 0 Al Ahly

 49' Yanga wameshapata kona tisa na zote tasa

Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans 0 - 0 Al Ahly
Mpira ni mapumziko, Young Africans 0 - 0 Al Ahly - Yanga wametengeneza nafasi tatu za wazi wameshindwa kuzitumia.43' Yanga 0 Al Ahly 0.

40' Milango ya timu zote bado migumu

37’ Yanga 0 Al Ahly 0.

Dakika ya 30, Young Africans 0 - 0 Al Ahly

26' Hamis Kiiza anakosa bao la wazi hapa

24' Yanga 0 - 0 Al Ahly

18' Emmanuel Okwi anapiga shuti kali kipa anaucheza na kupata majeraha

14' Yanga 0 - 0 Al Ahly

11’ Yanga wanapata kona ya pili inaokolewa na wachezaji wa Ahly. (0-0)

10’ Penaltyyyyyy hapana Refa anakataa kwa madai mshambuliaji wa Al Ahly alijidondosha. (0-0)

09’ Msuva anacheza fyongo pale. (0-0)

07’ Yanga wametawala kati, Msuva na Niyonzima wanaonana vizuri. (0-0)

5' Yanga wanapata kona na inaokolewa na Al Ahly

3' Al Ahly wanalishambulia lango la Yanga lakini Dida anaokoa hatari

1' Young Africans 0 - 0 Al Ahly

Mpira ndio umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya wenyeji Young Africans Vs Al AhlyKIKOSI CHA NACIONAL AL AHLY 

Ekramy, Moawad, Nagiub, Wael Gomaa, Fathy, Rabea, Ashaur, Mousa Edan, Gedo, na Amri GamalKIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO
1. Deogratias Munish "Dida" - 30
2. Mbuyu Twite - 6
3. Oscar Joshua - 4
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23 (C)
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 6
6. Frank Domayo "Chumvi" - 18
7. Saimon Msuva - 27
8. Haruna Niyonzima - 8
9. Emmanuel Okwi - 25
10. Mrisho Ngasa - 17
11. Hamisi Kizza - 20

Subs:
1. Juma Kaseja - 1
2. Juma Abdul - 12
3. David Luhende - 3
4. Athuman idd "Chuji" - 24
5. Hassan Dilunga - 26
6. Said Bahanuzi - 11
7. Didier Kavumbagu - 7

4 comments:

  1. Kamanda Niko safari naelekea arusha, nakutegemea nakucheki Lila baada ya sekunde 20,pamoja sana

    ReplyDelete
  2. Shaffih,
    Please, naomba utuwekee clip za game hii, na pia goli lilivyofungwa

    ReplyDelete