Search This Blog

Wednesday, February 12, 2014

NANI ATAKUWA MCHEZAJI WA 100 KUPEWA KADI NYEKUNDU KWENYE UTAWALA WA WENGER NDANI YA ARSENAL ?

 Dennis Bergkamp akilimwa kadi nyekundu...mpaka anaondoka Arsenal alikusanya jumla ya kadi nyekundu 4.
  Adebayor akila chuma....toka kwa mwamuzi Howard Webb


 Chini ni orodha ya wachezaji wa Arsenal waliopata kadi nyekundu kwenye michezo dhidi ya Manchester Utd.


Chini ni majina ya wachezaji wa Arsenal waliopewa kadi nyekundu kwenye kipindi cha Wenger ndani ya Arsenal.

jumla ya kadi nyekundu 99 zimetolewa kwa wachezaji mbali mbali wa Arsenal katika kipindi chote ambacho Mfaransa Arsene Wenger amekuwa madarakani klabuni hapo.

SWALI ?
Ni mchezaji gani atapewa kadi nyekundu ya 100 ?

2 comments: