Search This Blog

Wednesday, February 12, 2014

BREAKING NEWS: MCHEZO WA MAN CITY VS SUNDERLAND WAGHAIRISHWA

Mchezo wa Manchester City dhidi ya Sunderland uliokuwa uchezwe katika dimba la Etihad Stadium umeghairishwa kutoka na hali mbaya ya hewa. 

Polisi wa jijini Manchester wamethibitisha habari hiyo saa moja kabla ya kuanza kwa mchezo huo huku kukiwa na upepo mkali ambao umeufanya mchezo huo kughairishwa na kutokana masuala ya usalama.

Nahodha wa City Kompany aliandika kwenye Twitter: "Mchezo umeigharishwa. Hakikisha unarudi nyumbani salama, hali ya hewa sio nzuri."

No comments:

Post a Comment