Search This Blog

Saturday, February 8, 2014

LISTI YA VILABU VYA EPL VINAVYOONGOZA KWA MATUMIZI MAKUBWA YA FEDHA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO ILIYOPITA


Hii ni listi ya vilabu vinavyoongoza kwa matumizi makubwa ya fedha katika kipindi cha miaka mitabno iliyopita ndani ya English Premier League.
Mchanganuo inaonyesha fedha zilizotumika katika kununua, fedha zilizoingia kutokana na mauzo.

*Vilabu vya Arsenal, Everton na Newcastle ndio vimetengeneza faida katika biashara ya manunuzi na mauzo ya wachezaji. Arsenal kwa upande wao kwa muda wote huo wametumia kiasi cha £188m, wameuza kiasi cha £192, hivyo wamepata faida ya £4m
Everton wametumia kiasi cha £63, na kuuza kiasi cha £75m, faida kiasi cha £12m.
Klabu ya Newcastle ndio klabu iliyoingiza fedha nyingi zaidi - wamepata faida ya £45m, walitumia kiasi cha £93m na kuuza kiasi cha £138m.

No comments:

Post a Comment